UNEA-6 inaongozwa na Ofisi na Rais wake.
Ofisi ya UNEA-6 ilichaguliwa kwa muda wa miaka miwili kuanzia mwishoni mwa kikao cha tano cha UNEA mwezi wa Machi mwaka wa 2022 na ina wajumbe kumi, ikiwa ni pamoja na Rais mmoja, Makamu wa Rais wanane na mwandishi wa mikutano mmoja katika ngazi ya Mawaziri, na wajumbe wawili wanaowakilisha kila mojawapo ya kanda tano za Umoja wa Mataifa.
Kuhusiana na kazi ya Ofisi na utaratibu wake wa kufanya kazi:
Rais
![president]()
Mheshimiwa Leila Benali
Rais wa UNEA na Waziri wa Mabadiliko ya Nishati na Maendeleo Endelevu wa Morocco
Makamu wa Rais
![Silvio]()
Mheshimiwa Silvio Jose Albuquerque e Silva
Makamu wa Rais wa UNEA na Mwakilishi wa Kudumu wa Brazil kwa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa na Balozi Mwakilishi wa Kipekee wa Shirikisho la Jamhuri ya Brazil.
![Gonzales]()
Mheshimiwa Susana Muhamad Gonzales
Makamu wa Rais wa UNEA na Waziri wa Mazingira na Maendeleo Endelevu wa Colombia
![jafar]()
Mheshimiwa Jafar Barmaki
Makamu wa Rais wa UNEA, Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa UNEP na UN-Habitat wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
![Oleksandr]()
Mheshimiwa Sherry Rehman
Makamu wa Rais wa UNEA na Waziri wa Mabadiliko ya Tabianchi wa Pakistan
![H.E. Mr. José Duarte Piteira Rica Silvestre Cordeiro]()
Mheshimiwa Duarte Cordeiro
Makamu wa Rais wa UNEA na Waziri wa Mazingira na Ushughulikiaji wa Tabianchi wa Ureno
![H.E. Mr. José Duarte Piteira Rica Silvestre Cordeiro]()
Mheshimiwa Alioune Ndoye
Makamu wa Rais wa UNEA na Waziri wa Mazingira na Maendeleo Endelevu na Mabadiliko ya Ekolojia wa Senegal
![Norbert Kurilla]()
Mheshimiwa Norbert Kurilla
Makamu wa Rais wa UNEA na Mshauri wa Rais wa Jamhuri ya Slovakia
Hakuna mtu
Mwandishi wa mikutano
![Oleksandr]()
Mheshimiwa Oleksandr Krasnolutskyi
Mwandishi wa mikutano wa UNEA na Waziri wa Utunnzaji wa Mazingira na Malighafi wa Ukraine